Hujanikomoa Lyrics – Harmonize
Hii hapa sauti ya Konde Boy mjeshi
Konde BoyMwambieni dada yenu hajanikomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Badala ya kujenga anabomoaEti mapenzi hayalazimishwi
Tena ni siri ya watu wawili
Wala sikuwa mbishi
Alivyonikata kimwiliAsa jana nipo kwa mama Winnie
Napiga zangu chai vitumbua
Eti kasambaza za chini chini
Mie bado ninamsumbuaOooh mwambieni dada yenu hajanikomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Ah badala ya kujenga anaDodo style, eeh Mudi mnyama
Msalimie Jengo tamu
Eeh wapi mchachambo mchachambo
Mwambie chibaba afagie njia wanajeshi tunapita(Twende twende)
Asa mguu pande mguu pande
Twende mguu sawa mguu sawa
Eeh mguu pande mguu pande
Mguu sawa mguu sawaRuka kijeda kijeda
Wahuni kijeda kijeda
Asa jump kijeda kijeda
Gwaride la kijeda kijedaBosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoaChombo imelala gereji
Mie jana sijakula vichwa
Umetuma bonge la meseji
Unataka pesa jua tu ni kichwaMi nafanya kazi kwa shida
Nakesha tena silali
Unachukulia barida
Kwa nguvu unadai salaryMuda mwingine niwabebe ndugu zako
Ooooh ooooh ndugu zako
Mwisho wa wiki unataka pesa zako
Ooooh ooooh pesa zakoBosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Eti badala ya kujengaWazee wa chafu tatu(Mama)
Chafu tatu(chinja)
I say chafu tatu, chafu tatuNa stima kei ndani(Wahuni)
Kei ndani (Machizi boti)
Ana dume ndani(Duke boti)
Dume ndani(Yuapiga mata)
Mzungu wa pili ndani(Wahuni)
Pili ndaniAya sasa chafua(Walete)
Chafua(Walete)
Wahuni chafua(Walete)
Chafua(Walete)Nasema fitizi hiyo(Baruti)
Fitizi hiyo(Baruti)
Sasa fitizi hiyo(Baruti)
Fitizi hiyoJuma mpogo, msalimie Omari Omari
Na anifikishie salamu zangu kwa Dogo Mfalme
Waambie gurudumu linasongeshwa
Na Konde Boy MjeshiKama unampenda Dogo Mfalme, kimbiaa
Kama unampenda Omari Omari, kelele
Usijebishana, Young Keys mleto
Mwambie mzambele ajinyongeHunter ninyonge
Dogo router aninyonge
Jose wa mipango, wa mipangoBaba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Baaba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoaUnakuja mpaka ndani
Tena bila kugonga hodi
Niulizapo ku nani?
Nimechelewa kulipa kodiUmeme kwangu umekata
Taa kwako zinawaka
Ata maji umekataNashinda gogo kukata
Kupata majaliwa
Ipo siku utapewa
Kwangu nitahamia
Hata ikichelewaBaba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoaHii ni order toka jeshini
Namanisha kambi kuu Konde Gang
Na anaye zungumza hapa ni mjeshi
Wa majeshi yote ya Konde GangTulia, tulia, tulia
Kaa chini wewe, kaa chiniAya sasa toa shati, toa shati
Aah zungusha shati zungusha shati
Eeh mpaka kofia yaani dareki
Wazee wa vitambaa vitambaaHii ni order wahuni kimbia!
Wote lala chini, eeh lala chini
Harmonize – Hujanikomoa Song Details
Song: Hujanikomoa
Singer: Harmonize